Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Na. Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), itaendelea kushirikiana kwa karibu zaidi na wadau wa Uchaguzi ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 27 na 28 Octoba...
Na Jaala Makame Haji-ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe. Jaji Mkuu (Mst) HAMID MAHMOUD HAMID alisema Uteuzi wa wagombea wa kiti cha Urais unafanyika kwa mujibu wa...
Na Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imeanza zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi mbali mbali katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe: Jaji Mkuu (Mst.) Hamid Mahmoud Hamid akitangaza Majimbo ya Uchaguzi kwa Uchaguzi Mkuu wa 2020 katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika...
Na Jaala Makame Haji - ZEC. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imekamilisha mzunguko wa Ratiba ya kazi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapi Kura katika Daftari la...
Na Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imekabidhiwa Karatasi za Kura kutoka kwa wakala wa Serikali wa Uchapaji Zanzibar ambaye ni Mzabuni wa Karatasi hizo. Makabidhiano...
Na Jaala Makame Haji - ZEC Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Ali Mohamed Shein leo alikuwa ni miongoni mwa Wapiga Kura waliofika kituoni kwa...
Na Jaala Makame Haji - ZEC Tume ya uchaguzi ya Zanzibar imewahakikishia wananchi kuwa itazifanyia kazi changamoto zinazojitokeza katika zoezi la uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura baada...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828