Wakufunzi wa mafunzo ya Wajumbe wa Tume za Uchaguzi NEC na ZEC wakisikiliza hotuba ya ufunguzi wa mafunzo hayo iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe. Jaji Mkuu mtahafu HAMID MAHMOUD HAMID (hayupo pichani) |
Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Wakufunzi wa mafunzo ya Wajumbe wa Tume za Uchaguzi NEC na ZEC wakisikiliza hotuba ya ufunguzi wa mafunzo hayo iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe. Jaji Mkuu mtahafu HAMID MAHMOUD HAMID (hayupo pichani) |
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828