Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imewataka Masheha na Mawakala wa Vyama vya Siasa kutoa elimu ya zoezi la Uandikishaji kwa wananchi ili kuepusha dhana hasi kwa utoaji wa huduma hiyo...
Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Thabit Idarous Faina, amesema zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura Wapya kwa Wilaya ya Micheweni limekwenda vizuri katika siku zote tatu zilizowekwa. Aliyaeleza...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imewataka Wadau wa Uchaguzi katika Wilaya ya Chake Chake Pemba kuona kuwa zoezi la uendelezaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kuanza...
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi amefungua rasmi zoezi la Uandikishaji wa Wapiga Kura Wapya kwa awamu ya kwanza ikiwa ni sehemu ya maandalizi...
Mkuu wa Kurugenzi ya Mifumo ya Uchaguzi Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bi. Mwanakombo Machano Abuu amewataka wafanyakazi waliochaguliwa kuandikisha Wapiga Kura Wapya katika Daftari la Kudumu linalotarajiwa kuanza tarehe 2...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na Kampuni yaUjenzi ya CRJE (East Africa Limited) ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa China imetiliana saini mkataba wa Ujenzi wa Jengo la...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imewataka wanafunzi wa elimu ya ngazi ya juu kujitokeza kwa wingi katika zoezi la Uandikishaji wa Wapiga Kura Wapya ili kuendeleza demokrasia nchini. Yamesemwa hayo...
Waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla wameaswa kuacha kabisa taarifa zinazotolewa katika mitandao ya kijamii ambazo zina nia ya kuvuruga amani na utulivu uliopo nchini na badala yake wafuate...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828