Tumia simu yako ya mkononi kujua kituo chako cha kujiandikisha, kituo cha kupiga kura pamoja na hali ya kadi yako kupitia mitandao yote ya simu ya mkononi.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akimkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika Picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na wajumbe sita pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Agosti 28,2023 Ikulu Zanzibar.
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR AKILA KIAPO.
Mhe.Jaji George Joseph Kazi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto) akimuapisha Thabit Idarous Faina kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.

Elimu ya Mpiga kura

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4   soma zaidi>>>

Vituo vya Uandikishaji

Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za  Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Bofya hapa kupata orodha ya vituo vya kujiandikisha.

Mfumo wa Uchaguzi

Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni  wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi

Soma zaidi >>>

Habari na Matukio.

TUME YAWATAKA MASHEHA NA MAWAKALA KUISIMAMIA KIDETE ELIMU YA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WAPYA.

09 December 2023
TUME YAWATAKA MASHEHA NA MAWAKALA KUISIMAMIA KIDETE ELIMU YA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WAPYA.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imewataka Masheha na Mawakala wa Vyama vya Siasa kutoa elimu ya zoezi la Uandikishaji kwa wananchi ili kuepusha dhana hasi kwa utoaji wa huduma hiyo...

ZEC YAMALIZA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WILAYA YA MICHEWENI KWA AMANI.

06 December 2023
ZEC YAMALIZA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WILAYA YA MICHEWENI KWA AMANI.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Thabit Idarous Faina, amesema zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura Wapya kwa Wilaya ya Micheweni limekwenda vizuri katika siku zote tatu zilizowekwa. Aliyaeleza...

ZEC YAWATAKA WADAU KUSHIRIKI ZOEZI LA UANDIKISHAJI KWA AMANI.

04 December 2023
ZEC YAWATAKA WADAU KUSHIRIKI ZOEZI LA UANDIKISHAJI KWA  AMANI.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imewataka Wadau wa Uchaguzi katika Wilaya ya Chake Chake Pemba kuona kuwa zoezi la uendelezaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kuanza...

ZEC YAFUNGUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA WAPYA KWA AWAMU YA KWANZA.

03 December 2023
ZEC YAFUNGUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA WAPYA KWA AWAMU YA KWANZA.

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi amefungua rasmi zoezi la Uandikishaji wa Wapiga Kura Wapya kwa awamu ya kwanza ikiwa ni sehemu ya maandalizi...

MAKARANI NA WAKUU WA VITUO WA UANDIKISHAJI WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MIHEMKO YA KISIASA.

01 December 2023
MAKARANI NA WAKUU WA VITUO WA UANDIKISHAJI WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MIHEMKO YA KISIASA.

Mkuu wa Kurugenzi ya Mifumo ya Uchaguzi Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bi. Mwanakombo Machano Abuu amewataka wafanyakazi waliochaguliwa kuandikisha Wapiga Kura Wapya katika Daftari la Kudumu linalotarajiwa kuanza tarehe 2...

ZEC YATIA SAINI UJENZI WA AFISI MPYA

29 November 2023
ZEC YATIA SAINI UJENZI WA AFISI MPYA

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na Kampuni yaUjenzi ya CRJE (East Africa Limited) ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa China imetiliana saini mkataba wa Ujenzi wa Jengo la...

WANAFUNZI VYUO VIKUU WAHIMIZWA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

24 November 2023
WANAFUNZI VYUO VIKUU WAHIMIZWA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imewataka wanafunzi wa elimu ya ngazi ya juu kujitokeza kwa wingi katika zoezi la Uandikishaji wa Wapiga Kura Wapya ili kuendeleza demokrasia nchini. Yamesemwa hayo...

ZEC YASISITIZA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI KWA VYOMBO VYA HABARI.

23 November 2023
ZEC YASISITIZA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI KWA VYOMBO VYA HABARI.

 Waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla wameaswa kuacha kabisa taarifa zinazotolewa katika mitandao ya kijamii ambazo zina nia ya kuvuruga amani na utulivu uliopo nchini na badala yake wafuate...

« »

Vituo vya uandikishaji

407

Vituo vya Kupiga Kura

1412

Waliojiandikisha

566,352

Majimbo

50

Wadi

110

 

 

Mawasiliano Yetu


Tume ya Uchaguzi Zanzibar

S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.

Simu: +255 242231489

Nukushi: +255 242233828

Mitandao ya Kijamii