Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Na Jaala Makame Haji - ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Jaji Mkuu (Mst) Mheshimiwa Hamid Mahmoud Hamid amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe maalum wa Maafisa kutoka...
Na Jaala Makame Haji – ZEC Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndg. Khamis Kona Khamis amewataka watendaji wa Tume hiyo kujenga tabia ya kuzisoma mara kwa mara...
Na Jaala Makame Haji - ZEC Viongozi na watendaji katika Taasisi za Umma wameshauriwa kuwa wazalendo na kufuata maadili ya Kiutumishi wakati wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku. Ushauri huo...
Na Jaala Makame Haji - ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imekabidhi kwa Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi ripoti ya...
Na Jaala Makame Haji - ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imezitaka Taasisi zilizozoshiriki kuangalia Uchaguzi Mkuu kuwasilisha ripoti zao za uangalizi kwa kutoa mapendekezo yenye nia ya kujenga...
Na. Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), itaendelea kushirikiana kwa karibu zaidi na wadau wa Uchaguzi ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 27 na 28 Octoba...
Na Jaala Makame Haji-ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe. Jaji Mkuu (Mst) HAMID MAHMOUD HAMID alisema Uteuzi wa wagombea wa kiti cha Urais unafanyika kwa mujibu wa...
Na Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imeanza zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi mbali mbali katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828